• English
    • français
  • English 
    • English
    • français
  • Login
View Item 
  •   Repository Home
  • Master Theses and Dissertations(MST)
  • MST-School of Humanities and Social Sciences
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages
  • View Item
  •   Repository Home
  • Master Theses and Dissertations(MST)
  • MST-School of Humanities and Social Sciences
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages
  • View Item
JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

Usasa katika Ngoma ya Itheke.

Thumbnail
View/Open
Full text Thesis (68.43Mb)
Date
2011-12-02
Author
Kilauni, N. W.
Metadata
Show full item record
Abstract
Malengo ya utafiti huu yalikuwa ni kutathmini usasa katika ngoma ya Itheke. Utafiti ulifanywa ili kubainisha jinsi usasa unavyoisaidia ngoma ya Itheke kuimarika na kuwa maarufu miongoni mwa j imii ya Wakamba. Aidha utafiti ulidhamiria kubainisha jinsi usasa unavyoiwezesha ngoma ya Itheke kutekeleza majukumu ya kijamii. Nadharia za usasa na uamali zimetumiwa kwa pamoja katika utafiti huu. Nadharia ya usasa imetuongoza kubainisha jinsi usasa unavyodhihirika katika vipengele vya ngoma ya Itheke ambavyo ni: lugha na mtindo, maudhui, muktadha, teknolj is ya kisasa, hadhira , ala na maleba. Nadharia ya uamali hasa kipengele cha Ethnografia ya mazungumzo kilitumika kubainisha jinsi vipengele vya ngoma ya Itheke vinavyotekeleza majukumu ya kijamii miongoni mwa jamii ya Wakamba. Ili kubainisha jinsi jamii ya Wakamba imekuwa ikikua na kubadilika, historia ya chimbuko la jamii Wakamba imedokezwa. Mabadiliko yalionekana kuadhiri mifumo yote ya kimaisha ikiwa ni pamoja na fasihi simulizi ya jamii ya Wakamba. Kwa sababu ya mabadiliko ya maisha, ngoma nyingi katika jamii ya Wakamba zimedidimia huku zingine zikiibuka. Ngoma ya Itheke ni mojawapo ya ngoma zilizoibuka na kuwa maarufu kwa sababu ya usasa. Utafiti huu umeonyesha sababu za ngoma ya Itheke kuwa maarufu wakati ngoma zingine zinapodidimia na kusahaulika.
URI
http://ir-library.ku.ac.ke/handle/123456789/1844
Collections
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages [234]

Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
Contact Us | Send Feedback

 

 

Browse

All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

My Account

LoginRegister

Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
Contact Us | Send Feedback