• Login
    View Item 
    •   Repository Home
    • Master Theses and Dissertations(MST)
    • MST-School of Humanities and Social Sciences
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • View Item
    •   Repository Home
    • Master Theses and Dissertations(MST)
    • MST-School of Humanities and Social Sciences
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Tathmini ya Mtalaa wa Isimu Jamii wa Shule za Upili Nchini Kenya

    Thumbnail
    View/Open
    Full Text Thesis (65.25Mb)
    Date
    2008
    Author
    Ngugi, Mwangi Boniface
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Utafiti huu umeshughulikia kutathmini mtalaa wa Isimujamii wa shule za upili nchini Kenya. Utafiti huu ulidhamiria kutathrriini na kuimarisha mtalaa wa Isimujamii katika lugha ya Kiswahili kama chombo cha mawasiliano kwa kuongozwa na misingi ya nadharia za ufundishaji wa Lugha ya Pili na Isimujamii. Utafiti huu pia ulibainisha changamoto zinazowakumba walimu wanapofundisha Isimujamii iliyojumuishwa katika silabasi ya mtalaa wa sasa. Wilaya ya Thika ilichaguliwa kama eneo la utafiti kwa vile ina shule za Taifa, Mkoa, Wilaya na za Kibinafsi zilizohitajika kufanyia utafiti. Ukusanyaji wa data ulifanywa kupitia mahojiano ya walimu, watalaamu wa elimu na kuchunguza ratiba ya vipindi vya masomo kutoka kidato cha kwanza hadi cha nne. Dhana ya mitalaa pamoja na uandalizi wa mitalaa imepitiwa kwa vile ni muhimu katika utekelezaji wa mtalaa wowote mpya. Maoni ya walimu na wakuza mitalaa kuhusu dhana ya mtalaa na maandalizi yake yamewasilishwa kwa njia ya mjadala. Vile vile, uchanganuzi wa maoni ya walimu na wakuza mitalaa kuhusu mawanda ya Isimujamii umeshughulikiwa. Hatimaye matokeo ya utafiti huu pamoja na mapendekezo yameshughulikiwa ambapo imebainika kuwa, mtalaa wa Isimujamii una udhaifu katika kumwongoza mwalimu ili aimarishe kiwango cha mawasiliano cha wanafunzi. Walimu wengi wanasisitiza miundo ya lugha badala ya uamilifu wa lugha. Jambo jingine linalotinga utekelezaji wa mtalaa wa Isimujamii ni ukosefu wa vifaa vya kufundishia. Utafiti huu utafaidi sera na upangaji wa lugha. IIi kuimarisha uhusiano mwema katika jamii yenye lugha nyingi, lugha moja inahitajika. Lugha kama hiyo itapatikana kwa kuifunza shuleni.
    URI
    http://ir-library.ku.ac.ke/handle/123456789/14520
    Collections
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages [213]

    Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
    Contact Us | Send Feedback

     

     

    Browse

    All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
    Contact Us | Send Feedback