BC-Department of Agribusiness Management and Trade
Permanent URI for this collection
Browse
Recent Submissions
Item CORPORATE & INTELLECTUAL SOCIAL RESPONSIBILITY: A Guide for Industry and Service Agencies in Kenya(KurArts Designs and Digital Printers Limited, 2024) Waswa, FuchakaNoneItem Athari za Sera ya Lugha Afrika Mashariki na Nafasi ya Kiswahili Afrika na Ulimwenguni(RealText Printers and Publishers, 2024) Osore, Miriam; Minyade, SherilSera ya lugha ni kipengele cha mpango lugha. Haya ni maamuzi katika maandishi kuhusu jinsi lugha zinavyopaswa kutumika katika jamii ili kutekeleza majukumu mbalimbali. Maamuzi haya yanaweza kutolewa katika katiba ya nchi husika. Sera ya lugha Afrika Mashariki imepitia mabadiliko kuanzia enzi za ukoloni hadi sasa. Hata kabla ya ukoloni, Kiswahili kilikuwa tayari kinatumika kama lugha ya mawasiliano mapana katika biashara kati ya Waarabu na Waafrika. Wamishonari waliofika eneo la Afrika Mashariki walikuta Kiswahili kimeenea wakakitumia kueneza dini. Hatua za mwanzo za usanifishaji wa Kiswahili zilichukuliwa na wamishonari walioona haja ya kusanifisha Kiswahili ili kukitumia kwa mafanikio zaidi ya kueneza injili. Kiunguja kiliteuliwa kama msingi wa kusanifisha Kiswahili. Kiswahili sanifu ndicho kilitumiwa katika .maandishi. Wakoloni walipofika katika eneo la Afrika Mashariki pia walianza kukitumia Kiswahili katika shughuli za utawala na elimu. Kila nchi ilikuwa na sera tofauti za lugha: Uganda, chini ya Waingereza haikukipa Kiswahili nafasi ya kuenea. Waingereza waliotawala Kenya walisisitiza matumizi ya Kiingereza na lugha ya kwanza. Tanzania ilitawaliwa na Wajerumani na Waingereza. Kiswahili kilipewa kipaumbele; kilitumika katika shughuli zote za elimu na utawala fakala hii inalenga kubainisha jinsi sera tofauti za lugha katika nchi hiziwakati wa ukoloni na baada ya ukoloni zimeathiri kuenea kwa Kiswahili Afrika na ulimwenguni.Item Integrated pest management training and information flow among smallholder horticulture farmers in Kenya.(CABI, 2011) Bekele, N.A.; Mithöfer, D.; Amudavi, D. M; Obare, G.A study was conducted in 5 districts in Kenya (Muranga, Thika and Maragua in Central Province, and Makueni and Embu in Eastern Province) to determine the factors linked to the acquisition of integrated pest management (IPM) knowledge and sharing among the two different group-based farmers, as well as among farmers operating individually (the control group). Data were collected from May to July 2008 focusing on active smallholder vegetable and fruit producers grouped in three categories: farmer field schools (FFS) members, common interest groups (CIG) members, and control farmers. The control farmers were not members of the two group-based training approaches, but they were sampled from the same villages as the FFS and CIG farmers. According to the marginal effect result, FFS and CIG membership, the number of groups to which farmers belonged (excluding FFS and CIG), farmer household memberś literacy and locality positively and significantly affected IPM knowledge acquisition, whereas household size, land size, permanent labour, casual labour, access to horticulture production information, distance to extension services, farmer visitors, frequency of listening to horticulture production information on the radio, and frequency of reading newspaper articles on horticulture production negatively and significantly affected IPM knowledge acquisition. Knowledge sharing was significantly and positively associated with the number of casual labourers employed, IPM knowledge acquisition, and the number of visitors received, whereas membership in FFS, gender and locality significantly and negatively affected IPM knowledge sharing.