Uchanganuzi wa Riwaya ya Kiza Katika Nuru ya Said Ahmed Mohamed Kwa Misingi ya Umarxi Mpya wa Kifreire
dc.contributor.author | Wafula, Richard Makhanu | |
dc.contributor.author | Mue, Elizabeth Kasau | |
dc.date.accessioned | 2023-07-12T13:22:04Z | |
dc.date.available | 2023-07-12T13:22:04Z | |
dc.date.issued | 2021 | |
dc.description | Article | en_US |
dc.description.abstract | Makala hii inachanganua wahusika na dhana kuu zinazosawiriwa katika riwaya ya Kiza Katika Nuru (1988) ya Said Ahmed Mohamed kwa kuzingatia mihimili ya mojawapo ya mikabala ya Umarxi Mpya, mkabala wa mwanafalsafa na mwananadharia kutoka Marekani ya Kilatini, Paulo Freire. Kiini cha mkabala huu wa Umarxi Mpya ni kukosoa na kutupilia mbali mitazamo kuhusu elimu inayomnyima mwanafunzi fursa ya kujifunza kutokana na mazingira yake. Uchambuzi huu unabainisha jinsi Umarxi Mpya wa Kifreire unavyofaa kwa kuchambua riwaya ya Kiza Katika Nuru, na riwaya nyingine za Kiswahili zinazofanana nayo. | en_US |
dc.identifier.citation | Wafula, R. M., & Mue, E. K. (2021). Uchanganuzi wa Riwaya ya Kiza katika Nuru ya Said Ahmed Mohamed kwa Misingi ya Umarxi Mpya wa Kifreire. | en_US |
dc.identifier.uri | http://ir-library.ku.ac.ke/handle/123456789/26184 | |
dc.language.iso | other | en_US |
dc.publisher | Qucosa | en_US |
dc.title | Uchanganuzi wa Riwaya ya Kiza Katika Nuru ya Said Ahmed Mohamed Kwa Misingi ya Umarxi Mpya wa Kifreire | en_US |
dc.type | Article | en_US |
Files
Original bundle
1 - 1 of 1
Loading...
- Name:
- Uchanganuzi wa Riwaya ya Kiza Katika Nuru ya Said Ahmed Mohamed Kwa Misingi ya Umarxi Mpya wa Kifreire.pdf
- Size:
- 184.46 KB
- Format:
- Adobe Portable Document Format
- Description:
- Full text Article
License bundle
1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
- Name:
- license.txt
- Size:
- 1.71 KB
- Format:
- Item-specific license agreed upon to submission
- Description: