Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Қазақ
  • বাংলা
  • हिंदी
  • Ελληνικά
  • Yкраї́нська
  • Log In
    New user? Click here to register.Have you forgotten your password?
Repository logo
  • Communities & Collections
  • All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Қазақ
  • বাংলা
  • हिंदी
  • Ελληνικά
  • Yкраї́нська
  • Log In
    New user? Click here to register.Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Muriithi, Jesse Joseph"

Now showing 1 - 2 of 2
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Usawiri wa Mandhari katika Nyimbo Teule za Jadi za Jamii ya Abagusii
    (East African Nature & Science Organization, 2025-05) Oroko, Kerubo Judith; Muriithi, Jesse Joseph
    Mandhari ni kipengele muhimu sana katika kazi yoyote ile ya fasihi na nyimbo hazijasazwa. Madhumuni makuu ya makala haya ni kueleza kuhusu usawiri wa mandhari katika nyimbo teule za jadi za jamii ya Abagusii. Yaani kuonyesha maudhui yaliyojengwa kupitia kwa nyimbo teule, kudhirisha mila na desturi ambazo zinaangaziwa kupitia kwa nyimbo hizo na hata kuonyesha uhusiano kati ya jamii na mazingira anamoishi. Mandhari ambamo nyimbo hizi zilikuwa zimejikita yalikuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha uwasilishaji wa nyimbo husika. Katika kazi yoyote ya fasihi, mandhari yana nafasi muhimu sana. Kwanza, watunzi wanaweza kujenga maudhui ya kazi zao kwa kutumia. Pili, dhamira na toni ya kazi husika inaweza kukuzwa. Hali kadhalika, usawiri wa wahusika unaweza kudhihirishwa kikamilifu na mwisho kabisa matumiza mbinu mbalimbali za mtindo yanaweza kuendelezwa.
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Usimulizi kama Kipengele cha Muundo Unavyojitokeza kwenye Diwani ya Akiba ya Wema Iliyohaririwa na Timothy Arege
    (EANSO, 2026-01) Muthoni, Reuben Wahome; Muriithi, Jesse Joseph
    Utafiti huu ulichunguza usimulizi kama kipengele cha muundo kwenye Diwani ya Akiba ya Wema ambayo imehaririwa na Timothy Arege. Malengo ya utafiti huu yalikuwa pamoja na kubainisha sauti za usimuliaji na viwango vya usimulizi vinavyotumika katika Diwani ya Akiba ya Wema iliyohaririwa na Timothy Arege, Kuonyesha nafasi ya wakati katika usimulizi wa hadithi kwenye diwani hii, kudhihirisha uwasilishaji wa usemi na fikra za wahusika katika uendelezaji wa hadithi. Utafiti huu uliongozwa na nadharia ya Naratolojia ambayo ilianzishwa na mwasisi Plato na baadaye kuendelezwa na wengine kama: Propp (1968), Claude (1970), Barthes (1975), Todorov (1977), Genette (1980), Bal (1999) na Fludernik (2009). Nadharia hii hutumika kuchunguza jinsi matukio hufuatana kwenye hadithi fulani. Utafiti huu ulichunguza usimulizi kwa nadharia hii kuegemea mwelekeo wa Genette (1980). Vigezo vya nadharia hii vilivyozingatiwa ni sifa za muundo wa usimulizi na vipengele vyake kuzingatia uamilifu au uhusiano uliopo kiwakati na kiusemi. Utafiti ulikuwa umejikita maktabani ambapo, vitabu, majarida, tasnifu na makala ambayo yanahusu usimulizi yalisomwa. Mbinu ya usampulishaji makusudi ilitumika katika kukusanya data iliyotokana na waandishi tofauti kuhusu usimulizi. Asilimia 40 ya sampuli kuhusu usimulizi ilitumika kwenye hadithi ambazo ni 13 hivyo hadithi 5. Mafungu yanayoonyesha fikra za wahusika na miundo mbali mbali ya hadithi mahsusi yalidondolewa kwenye sampuli ya hadithi tano zilizochaguliwa.

DSpace software copyright © 2002-2026 LYRASIS

  • Cookie settings
  • Privacy policy
  • End User Agreement
  • Send Feedback