Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Қазақ
  • বাংলা
  • हिंदी
  • Ελληνικά
  • Yкраї́нська
  • Log In
    New user? Click here to register.Have you forgotten your password?
Repository logo
  • Communities & Collections
  • All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Қазақ
  • বাংলা
  • हिंदी
  • Ελληνικά
  • Yкраї́нська
  • Log In
    New user? Click here to register.Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Kihara, David Kung'u"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Uchambuzi wa matini: matumizi ya lugha katika sajili ya matatu
    (2011-12-08) Kihara, David Kung'u
    Katika tasnifu hii, tumechambua matini ili kubaini matumizi ya lugha katika sajili ya matatu kwa ujumla. Tumechanganua data kutoka vituo vikuu vya magari ya matatu na njiani abiria waliposafirishwa. Utafiti huu ulikuwa na malengo manne ambayo ulitekeleza. Kulikuwa na kuchanganua sifa zinazobainisha sajili ya matatu, kuchanganua aina za maana zinazowasilishwa na matini zinazotumika, kubainisha athara za maana na ujumbe, na kuchunguza msimbo wa maana. Kwa kutekeleza haya, nadharia ya isimu amilifu na hasa mtazamo bayana wa Isimu Amilifu Mfumo ulitumika. Sarufi Amilifu Mfumo (SAM) inajivunia uyakinifu wa kiisimu. Pamoja na uyakinifu wa kiisimu SAM inadai uhalisia wa Kipragmatiki sawia Kisaikolojia. Uwiano wa mambo haya ni msingi wa dhana ya udokezi maana. Utafiti huu umehusisha mbinu mbili kuu za utafiti wa maktabani na ule wa nyanjani. Uchanganuzi wa data ulihusisha uanishaji wa makundi ya msimbo, sifa bainifu na athara za matumizi ya lugha katika sajili ya natatu. Matokeo ya utafiti yamejumuishwa katika sura tatu. Utafiti umeonyesha kuwa sajili ya matatu ina msimbo wake. Imedhihirika pia ya kwamba sajili hii hubainishwa kwa sifa za aina mbalimbali, sifa wazi zaidi zikihusu umbo, muundo na matumizi ya lugha. Aidha, utafiti umedhihirisha kuwa matumizi ya lugha katika sajili ya matatu huwa na athari mbalimbali zinazowaathiri wahudumu na abiria kimawazo na kihisia.

DSpace software copyright © 2002-2025 LYRASIS

  • Cookie settings
  • Privacy policy
  • End User Agreement
  • Send Feedback