Kenyatta University Repository
Kenyatta University Institutional Repository is a digital archive that collects, preserves and disseminates scholarly outputs of the Institution
IMPORTANT LINKS

Communities in DSpace
Select a community to browse its collections.
Recent Submissions
Mitazamo ya Walimu kuhusu Teknolojia ya Mawasiliano katika Ufundishaji na Ujifunzaji wa Kiswahili katika Kaunti Ndogo ya Kasipul, Kenya
(Kenyatta University, 2017-08) Ochieng, Benson Onyango; King'ei, Kitula
Osore, Miriam
Utafiti huu ulinuia kuchunguza mitazamo ya walimu katika kushirikisha matumizi ya Tcknolojia ya Mawasiliano katika ufundishaji wa Kiswahili Katika shule za upili za Kaunti Ndogo ya Kasipul, Kaunti ya Homabay, Kenya. Utafiti wenyewe ulizingatia tcknolojia mpya kama vile teknolojia za kompyula pamoja na mtandao. Idadi iliyofanyiwa utafiti ilijumuisha walimu 52 wa Kiswahili, walimu wakuu 24 wa shule za upili na wanafunzi 2140. Utafiti huu ulichunguza misingi ya mitazamo ya walimu kuhusu ushirikishaji wa teknolojia ya mawasiliano katika ufundishaji wa Kiswahili katika kaunti ndogo va Kasipul. Madhumuni ya utafiti huu ulikuwa; kutathmini mitazamo ya walimu kuhusu matumizi ya teknolojia ya mawasiliano katika ufunzaji na ujifunzaji wa Kiswahili, kubainisha viwango vya walimu vya matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano katika ufundishaji wa Kiswahili na kuchunguza changamoto zinazowakumba walimu katika kuitumia teknolojia ya mawasiliano darasani. Kwa kuzingatia misingi ya nadharia ya Ubunaji, misingi ya mitazamo ya walimu kuhusu kushirikisha teknoloji katika ufundishaji wa Kiswahili ulitathminiwa. Muundo wa kimaclezo ulitumika katika utafiti huu. Vifaa ambavyo vilitumiwa katika utafiti huu ni hojaji, uchunzaji pamoja na mahojiano. Maswali yaliyotumiwa katika hojaji yalikuwa maswali wazi, maswali funge na maswali ya viwango. Walimu wakuu, walimu ahili na wanafunzi walihojiwa ili kupambanua mitazamo yao katika i wa teknolojia ya mawasiliano katika ufundishaji wa Kiswahili. mia majedwali ya frikwenzi pamoja na wa kusababisha kuimarika kwa utekelezaji wasiliano katika somo la Kiswahili kwa kutambua changamoto za utekelezaji na ujumuishaji katika msingi wa mitazamo kuhusu matumizi ya teknolojia ya mawasiliano. Hali kadhalika. yalinuiwa kuimarisha mtaala wa Kiswahili ili uweze kukidhi zaidi mahitaji ya walimu na wanafunzi kwa kuwawezesha kukabili vizuizi pamoja na kuwa msingi wa utafiti zaidi. Matokeo ya utafiti yalionyesha kuwa mitazamo ya walimu kuhusu teknolojia ya mawasiliano ilikuwa chanya. Kwa kiwango fulani, mitazamo ya walimu katika ufundishaji wa Kiswahili kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano kuliathiriwa na vigezo kama umri, jinsia na kiwango cha kielimu. Kufuatia matokeo haya.ilipendekczwa kuwa walimu wa Kiswahili na hata wale walio kwenye vyuo mbalimbali wapewe mafunzo zaidi kuhusu matumizi ya teknolojia ya mav siliano katika ufundishaji. Matokeo ya utafiti yananuiwa kujaza pengo katika utoaji wa mafunzo ya Kiswahili na vile 2 wakuza mitaala kufanikisha zoczi la ufunzaji na vjifunzaji wa wa Kisw ushirikishaj Data ilichanganuliwa kwa kutu vielelezo. Matokeo ya utafiti yalinui na ujumuishaji wa tcknolojia ya ma vile kuwasaidi Kiswahili.
Implementation of Life Skills Education Curriculum in Public Secondary Schools in Kericho County, Kenya
(Kenyatta University, 2017-08)
‘The society has today experienced vast developments in terms of technology and the state Of the economy. More parents are now spending their time at work, with the aim of fending for their families. Nonetheless while the teacher can address the issues of the students at the school level, the ease of access to pornographic content while using technological devices has significantly increased .Additionally. Lack of parental supervision at home implies that most of the students have a field day in terms of experimenting some of the vices that they are prohibited. As a result, the concerns of rising cases in drug use amongst young students, adolescent pregnancies, abortion, deteriorating school performances and HIV and AIDS can be curbed through the creation of a program that would impart young people with relevant skills on how to lead decent lives. To come up with an efficient methodology to curb the rising deliquescence in character, the study sought to look at some of the initiatives that the government put in place to ensure that students are competent to make the ideal decisions and build healthy relationships in schools. The purpose of this study was to assess the implementation of LSE curriculum in public secondary schools in Kericho County, Kenya. The objective herein were: to determine the role of principals’ support on the implementation ,evaluate the availability of resources ,establish the influence of teachers’ attitude and how learning strategies used by teachers influence the implementation of LSE in public secondary schools in Kericho County. The study was guided by social cognitive theory. The study employed descriptive survey design and used questionnaires to collect data. For this study a target population of 37 public secondary schools, 37 principals, 555 teachers and 4765 students were used. The study relied on both qualitative and quantitative research methods to examine some of the challenges undergone in making the LSE successful in secondary schools in Kericho. The data were analyzed quantitatively and qualitatively. Data were presented by use of simple statistical methods such as frequency and percentages. The data were presented using statistical tables and pie-charts The findings of this study were aimed at enriching the available data on research topic and creating awareness among both teachers and students on the importance of LSE. From the research, it is evident that LSE was not well taught since the teachers mostly emphasized on the examinable subjects in schools. The materials that were used in teaching the subject were inadequate. This was therefore a major hindrance to life skills education implementation .The study recommended that the school administration should provide adequate teaching /learning resources on the subjects. The principal should ensure that teachers prepare well for their LSE lessons
Cultural Practices and their Influence on the Persistent Rise in Student Indiscipline in Public Secondary Schools in Samburu County, Kenya
(Kenyatta University, 2017-08) Ongawa, Erick Onyango
The study investigated the cultural practices influencing persistent rise in student indiscipline in schools in Samburu Central Sub County. Students discipline is critical to the attainment of positive school outcomes. Lack of it makes a mockery of the stated important goals that secondary school education is supposcd to achieve. Poor performance of secondary school students in both academic and co-curriculum activities in Samburu Central Sub County can largely be blamed on indiscipline. The study was set out to determine the community retrogressive cultural practices causing persistent risc in indiscipline among students, the prevalent indiscipline problems among the secondary school students in Samburu Central Sub-county and finally methods that can be employed by school stakeholders in dealing with indiscipline cases in schools. The study employed descriptive survey research. A sample of § secondary schools out of 21 secondary schools in the sub county was selected. It also included 5 principals, 5 deputy-principals, 20 class teachers, 100 students and 25 parents of the sampled schools. This sample was arrived at using purposive sampling and stratified sampling procedures. The researcher collected data by himself through the use of questionnaires, interview guide and observation schedule as research tools. There were three scts of questionnaires, for students, teachers and parents. Interview was done for principal and their deputies. Data collected was analyzed using descriptive and inferential statistics. The latest version of SPSS was used in analyzing the quantitative data. The qualitative data was informative in explaining and clarifying the qualitative data from questionnaires. Findings revealed that the major causes of student indiscipline were cultural practices which include moranhood, girl child beading for sex, female genital mutilation and frequent circumcision ceremonies that are taking place within the surrounding communitics. The other causes are peer pressure, absence of teachers from schools, ignorance of school rules and regulations and lack of positive role models. Findings also reveal that the characteristic features of indiscipline were noisc making, fighting, truancy or absenteeism, rudeness to teachers, vandalism, smoking and drug abuse, improper wearing of school uniforms, stealing and bulling. The result also revealed that noise making. fighting, truancy rudencss to teachers and vandalism were the most experienced forms of indiscipline in schools. The study recommends parents to be sensitized on importance of education and the value of students discipline at school. They also advised to embrace the modern way of life.
Resource Constraints on Sports Participation by Physically Challenged Learners in Inclusive Public Primary Schools in Kajiado County, Kenya
(Kenyatta University, 2017-07) Alusa Gertrude Emily
Abstract
Influence of Principals’ Leadership Styles on Students’ Performance in Kenya Certificate of Secondary Education: Kirinyaga County, Kenya
(Kenyatta University, 2017-07) Muiruri,Wilkister Wanjiru
Abstract