Gicuku, Margaret (2012-02-21)
Utafiti huu umeshughulikia usawiri wa maudhui ya ndoa kama yanavyodhihirika katika ushairi wa Kiswahili. Katika kuendeleza kazi hii, mtafiti ameteua ushairi wa Euphrase Kezilahabi; Kichomi (1974) na wa Kithaka wa Mberia ...