Now showing items 1-1 of 1

    • Matumizi ya Ushairi katika Tamthilia ya Kiswahili 

      James, W. S. (2011-12-02)
      Utafiti huu umechunguza matumizi ya ushairi katika tamthilia ya Kiswahili. Uchunguzi umejiegemeza katika tamthilia tatu za Kiswahili: Mama ee (1987), Kilio cha Haki (1981) na Amezidi (1995). Malengo ya tasnifu hii yalikuwa ...