Now showing items 1-1 of 1

    • Mielekeo na mtindo wa Shafi Adam Shafi katika riwaya za Kuli na Haini 

      Gathenya, Elizabeth Wambui (Kenyatta University, 2018-05)
      IKISIRI Utafiti huu umechanganua mtindo na mielekeo kwa kushughulikia matumizi ya uchimuzi na ukiushi katika riwaya teule za mwandishi Shafi Adam Shafi. Utafiti unazingatia riwaya mbili teule za Kuli (1979) na Haini ...