• English
    • français
  • English 
    • English
    • français
  • Login
View Item 
  •   Repository Home
  • Master Theses and Dissertations(MST)
  • MST-School of Humanities and Social Sciences
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages
  • View Item
  •   Repository Home
  • Master Theses and Dissertations(MST)
  • MST-School of Humanities and Social Sciences
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages
  • View Item
JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

Matumizi ya majazi kama mkakati wa kuepuka upigaji marufuku katika riwaya za G.K Mkangi za mafuta(1984) na walenisi(1995)

Thumbnail
View/Open
Abstract (4.931Kb)
Date
2011-12-02
Author
Dick, Augustine Musee
Metadata
Show full item record
Abstract
Utafiti huu umeshughulikia swala la upigaji marufuku na matumizi ya majazi katika riwaya teule za Kiswahili. Riwaya zilizohahakikiwa ni Mafuta (1984) na Walenisi (1995) za G.K Mkangi. Nadharia iliyoongoza utafiti huu ni ya mtindo. Nadharia hii imeegemea kitengo cha kimajazi. Majazi yameonyeshwa jinsi yalivyotumika katika viwango mbalimbali katika riwaya teule. Tasnifu hii ina sura sita. Sura ya kwanza ni utangulizi wa utafiti Tumeshughulikia mada ya utafiti, malengo ya utefiti, sababu za za kuchagua mada, yallyoandikwa kuhusu made na vilevile upeo wa utafiti. Pie tumejadili nadharia na mihimili yake na vilevile mbinu za utafiti. Sura ya pili imejadili historic ya upigaji marufuku Ulimwenguni, Afrika na nchini Kenya. Sure ya tatu imejadili maisha ya mwandishi G.K Mkangi. inahusisha maisha yake ya awali, elimu, kazi na uandishi wake. Sura ya nne na tano zinachunguza jinsi riwaya za Mafuta na Welenisi zinavyotumia majazi kuepusha upigaji matufuku. Sura ya site imeshughulikia matokeo ya utafiti,matatizo yaliyokabiliwa katika utafifi na mapendekezo ya utafiti wa baadays. Kutokana na utafiti huu,imebainika wazi kwamba Mkangi anatumia majazi kimakusudi. Anatumia majazi kuepuka kupigwa marufuku kwa kazi yake. Majazi yanamwezesha kushambulia wenye mamlaka bila ya kuamsha hasira yao. Hivi anatoa hadharani upungufu wa jamii na kuitaka ijirekebishe.
URI
http://ir-library.ku.ac.ke/handle/123456789/1849
Collections
  • MST-Department of Kiswahili and African Languages [234]

Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
Contact Us | Send Feedback

 

 

Browse

All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

My Account

LoginRegister

Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
Contact Us | Send Feedback