• Login
    View Item 
    •   Repository Home
    • Master Theses and Dissertations(MST)
    • MST-School of Humanities and Social Sciences
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • View Item
    •   Repository Home
    • Master Theses and Dissertations(MST)
    • MST-School of Humanities and Social Sciences
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Mtindo katika mashairi ya kiswahili: Aina na dhima ya kibwagizo tasnifu

    Thumbnail
    View/Open
    Full Text Thesis (41.34Mb)
    Date
    2015-10
    Author
    Nyamai, Sarah Kambua
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Utafiti huu umetathmini mtindo katika mashairi ya Kiswahili kwa kuzingatia dhima na aina ya kibwagizo. Mtafiti amechunguza mashairi yaliyowasilishwa kwa mitindo mbalimbali huku akitilia maanani mashairi ya Kiswahili yanayobainishwa katika matapo matatu: yale yanayozingatia mno arudhi za kimapokeo, yasiyozingatia mno arudhi (ya kati) na yale yasiyozingatia arudhi hizo (huru) ili kudhihirisha haya. Nadharia iliyoongoza utafiti huu ni ile ya mtindo. Nadharia ya mtindo kwa jumla inazingatia matumizi ya lugha kwa kutathmini maana ya kijuujuu katika ruwaza ya sentensi au mfumo wa neno ili kubainisha au kufasiri maana fiche. Tasnifu hii imegawanyika katika sura tano: sura ya kwanza ni utangulizi ambapo mada ya utafiti, madhumuni ya utafiti, sababu za kuchagua mada na upeo wa utafiti zimeshughulikiwa. Pia, udurusu wa maandishi yanayohusu mada hii pamoja na nadharia iliyoongoza utafiti huu imejadiliwa. Sura ya pili imechanganua namna watunzi wa mashairi ya kimapokeo wanavyokitumia kibwagizo. Sura ya tatu imechanganua namna kibwagizo kinavyotumika katika mashairi ya kati ilhali sura ya nne imeshughulikia mashari huru ya Kiswahili. Sura ya tano ni hitimisho ambapo muhtasari na matokeo ya utafiti umeshughulikiwa pamoja na mapendekezo ya Utafiti.
    URI
    http://ir-library.ku.ac.ke/handle/123456789/14166
    Collections
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages [206]

    Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
    Contact Us | Send Feedback

     

     

    Browse

    All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
    Contact Us | Send Feedback