• Login
    View Item 
    •   Repository Home
    • Master Theses and Dissertations(MST)
    • MST-School of Humanities and Social Sciences
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • View Item
    •   Repository Home
    • Master Theses and Dissertations(MST)
    • MST-School of Humanities and Social Sciences
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Usimulizi katika riwaya za; adili na nduguze, walenisi na babu alipofufuka.

    Thumbnail
    View/Open
    Full text thesis (74.73Mb)
    Date
    2015
    Author
    Washiali, Omutimba Charles
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Usimulizi ni dhana iliyohusishwa kwa muda mrefu na hadithi. Hadithi ni mojawapo ya tanzu za fasihi simulizi, ambayo hutolewa kwa maelezo ya nathari. Huhusisha vipera kama vile; ngano, rnighani, hurafa, hekaya, visasili, visakale ngano za mtanziko na visa vingine. Kihistoria, fasihi ya Kiafrika ilisimuliwa na kupitishwa kwa vizazi kwa njia ya mdomo na kuhifadhiwa katika kurnbukumbu. Fasihi andishi ni utanzu mpya uliokuja kufuatia kuanzishwa kwa maandishi ili kuweza kuhifadhi sanaa ya fasihi ya Kiswahili. Riwaya kwa hivyo, ni ngeni katika Kiswahili kwa vile ililetwa na majilio ya hati za kirurni zilizoletwa na Wazungu na kuturnika kuihifadhi fasihi. Utafiti mwingi uliofanywa unaonyesha kuwa, riwaya ambayo huturnia maelezo ya nathari inaelekea kuwiana na simulizi na wengine wanapinga kabisa kuwa, hakuna uhusiano kati ya riwaya na simulizi. Hata hivyo, kumezuka riwaya mbalimbali katika nyakati mbalimbali ambazo zimetatiza ufasiri na uhakiki wake. Kwa sababu ya riwaya kuwa ya nathari kama ngano, yawezekana sifa za usimulizi zipatikanazo katika simulizi (zilizo pia na mtindo wa nathari) kuturnika katika utunzi na uhakiki wa riwaya ya Kiswahili. Ifaharnikavyo ni kuwa, simulizi zina muundo maalumu wa kifomyula ambao zinaturnia kupitisha ujumbe wake na hivyo, kuna makisio kuwa, ndani yake kuna vipengele maalumu vinavyoweza kuturniwa kufasiri vipengele muhimu riwayani. Hadithi ndizo zinazohusishwa sana na rniundo na maumbo ya usimulizi. Katika uhakiki wa ngano uliosharniri huko Ulaya, walihakiki masimulizi kifomyula. Hata hivyo, uhakiki wa riwaya umefungika kwa muda mrefu kwa rnisingi ya maudhui, wahusika na mtindo huku umbo na muundo wake ukipuuzwa, hali ambayo inaathiri ufasiri na uhakiki wake. Kuna haja ya kutalii nafasi ya rniundo na maumbo ya usimulizi katika riwaya ili kuyahusisha na utunzi na uhakiki wake na kupata uelewa wa kina kuihusu.
    URI
    http://ir-library.ku.ac.ke/handle/123456789/13735
    Collections
    • MST-Department of Kiswahili and African Languages [206]

    Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
    Contact Us | Send Feedback

     

     

    Browse

    All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
    Contact Us | Send Feedback