• Login
    View Item 
    •   Repository Home
    • Research Papers (RP)
    • RP-School of Humanities & Social Sciences
    • RP-Department of Kiswahili and African Languages
    • View Item
    •   Repository Home
    • Research Papers (RP)
    • RP-School of Humanities & Social Sciences
    • RP-Department of Kiswahili and African Languages
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Nadharia za Uhakiki kama Mchakato wa Kutaalamisha Usomaji wa Fasihi

    Thumbnail
    View/Open
    Full text Article (8.477Mb)
    Date
    2014
    Author
    Wafula, R. M.
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Utunzi na uhakiki wa fasihi ya Kiswahili umepanuka sana katika miongo mitano iliyopita. Makala haya yananuia kuonyeshe dhima ya nadharia katika kutaalamisha usomaji wa fasihi. Nadharia za uhakiki (na wakati mwingine za utunzi) zimepevusha usomaji na uhakiki kwa viwango ambavyo havingeweza kukadirikeahapo awali. Kwa njia hii, lugha ya Kiswahili imeweza kueleza maarifa anuwai kwa viwango vya juu. Nadharia na mikondo ya uhakiki kama usemezano na udenguzi vimetuwezesha kuchanganua matini ya kifasihi kwa jicho la upekuzi. Kwa upande mwingine, changamoto katika utumiaji wa baadhi ya nadharia hizi zimejitokeza na zinapaswa lwtathminiwa katika mazingira ambamo lugha ya Kiswsbili inaendelea kutumiwa lwfafanulia ujuzi wowote ule. Makala haya yanatalii manufaa ya matumizi ya nadharia katika uhakiki na kuweka wazi matatizo yanayoandamana na matumizi ya baadhi ya nadharia hizo. Hatimaye, njia mwafaka ya kufuatwa imependekezwa.
    URI
    http://ir-library.ku.ac.ke/handle/123456789/13416
    Collections
    • RP-Department of Kiswahili and African Languages [46]

    Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
    Contact Us | Send Feedback

     

     

    Browse

    All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Designed by Library ICT Team copyright © 2017 
    Contact Us | Send Feedback